Ad-Duha · 7/11
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Duha
وَوَجَدَكَ ضَالًّا فَهَدَىٰ ۝٧
Wa wa jadaka daal lan fahada
📖 Kwa Kiswahili
Na akakukuta umepotea akakuongoa?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 5-9 — Ad-Duha

5وَلَسَوْفَ يُعْطِيكَ رَبُّكَ فَتَرْضَىٰ
Na Mola wako Mlezi atakupa mpaka uridhike.
6أَلَمْ يَجِدْكَ يَتِيمًا فَآوَىٰ
Kwani hakukukuta yatima akakupa makaazi?
7وَوَجَدَكَ ضَالًّا فَهَدَىٰ
Na akakukuta umepotea akakuongoa?
8وَوَجَدَكَ عَائِلًا فَأَغْنَىٰ
Akakukuta mhitaji akakutosheleza?
9فَأَمَّا الْيَتِيمَ فَلَا تَقْهَرْ
Basi yatima usimwonee!
Ad-DuhaFaharasa ya Qurani
11Aya
MakkaRevelation
7Aya

Tafsiri — Ad-Duha 7

Sura Ad-Duha Aya 7 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na akakukuta umepotea akakuongoa?

Sura Aya 7/11 — Ad-Duha الضحى (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Duha Sikiliza, Ad-Duha Tafsiri, Ad-Duha mp3, Ad-Duha pdf. Aya 5–9. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema