Ad-Duha · 6/11
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Duha
أَلَمْ يَجِدْكَ يَتِيمًا فَآوَىٰ ۝٦
Alam ya jidka yateeman fa aawaa
📖 Kwa Kiswahili
Kwani hakukukuta yatima akakupa makaazi?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 4-8 — Ad-Duha

4وَلَلْآخِرَةُ خَيْرٌ لَّكَ مِنَ الْأُولَىٰ
Na bila ya shaka wakati ujao utakuwa bora kwako kuliko ulio tangulia.
5وَلَسَوْفَ يُعْطِيكَ رَبُّكَ فَتَرْضَىٰ
Na Mola wako Mlezi atakupa mpaka uridhike.
6أَلَمْ يَجِدْكَ يَتِيمًا فَآوَىٰ
Kwani hakukukuta yatima akakupa makaazi?
7وَوَجَدَكَ ضَالًّا فَهَدَىٰ
Na akakukuta umepotea akakuongoa?
8وَوَجَدَكَ عَائِلًا فَأَغْنَىٰ
Akakukuta mhitaji akakutosheleza?
Ad-DuhaFaharasa ya Qurani
11Aya
MakkaRevelation
6Aya

Tafsiri — Ad-Duha 6

Sura Ad-Duha Aya 6 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwani hakukukuta yatima akakupa makaazi?

Sura Aya 6/11 — Ad-Duha الضحى (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Duha Sikiliza, Ad-Duha Tafsiri, Ad-Duha mp3, Ad-Duha pdf. Aya 4–8. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema