Al-Hijr · 18/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
إِلَّا مَنِ اسْتَرَقَ السَّمْعَ فَأَتْبَعَهُ شِهَابٌ مُّبِينٌ ۝١٨
Illaa manis taraqas sam`a fa atba`ahoo shihaabum mubeen
📖 Kwa Kiswahili
Isipo kuwa mwenye kusikiliza kwa kuibia, naye hufuatwa na kijinga cha moto kinacho onekana.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 16-20 — Al-Hijr

16وَلَقَدْ جَعَلْنَا فِي السَّمَاءِ بُرُوجًا وَزَيَّنَّاهَا لِلنَّاظِرِينَ
Na hakika tumeweka katika mbingu vituo vya sayari, na tumezipamba kwa wenye kuangalia.
17وَحَفِظْنَاهَا مِن كُلِّ شَيْطَانٍ رَّجِيمٍ
Na tumezilinda na kila shetani afukuzwaye.
18إِلَّا مَنِ اسْتَرَقَ السَّمْعَ فَأَتْبَعَهُ شِهَابٌ مُّبِينٌ
Isipo kuwa mwenye kusikiliza kwa kuibia, naye hufuatwa na kijinga cha moto kinacho onekana.
19وَالْأَرْضَ مَدَدْنَاهَا وَأَلْقَيْنَا فِيهَا رَوَاسِيَ وَأَنبَتْنَا فِيهَا مِن كُلِّ شَيْءٍ مَّوْزُونٍ
Na ardhi tumeitandaza na humo tumeweka milima, na tumeotesha kila kitu kwa kiasi chake.
20وَجَعَلْنَا لَكُمْ فِيهَا مَعَايِشَ وَمَن لَّسْتُمْ لَهُ بِرَازِقِينَ
Na tumekujaalieni humo vitu vya maisha yenu, na ya hao ambao nyinyi sio wenye kuwaruzuku.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
18Aya

Tafsiri — Al-Hijr 18

Sura Al-Hijr Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Isipo kuwa mwenye kusikiliza kwa kuibia, naye hufuatwa na kijinga…

Sura Aya 18/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 16–20. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema