Al-Hijr · 43/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمَوْعِدُهُمْ أَجْمَعِينَ ۝٤٣
Wa inna jahannama lamaw`iduhum ajma`een
📖 Kwa Kiswahili
Na bila shaka Jahannamu ndipo pahali pao walipo ahidiwa wote.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 41-45 — Al-Hijr

41قَالَ هَٰذَا صِرَاطٌ عَلَيَّ مُسْتَقِيمٌ
Akasema: Hii Njia ya kujia kwangu Iliyo Nyooka.
42إِنَّ عِبَادِي لَيْسَ لَكَ عَلَيْهِمْ سُلْطَانٌ إِلَّا مَنِ اتَّبَعَكَ مِنَ الْغَاوِينَ
Hakika waja wangu, wewe hutakuwa na mamlaka juu yao, isipo kuwa wale wapotofu walio kufuata.
43وَإِنَّ جَهَنَّمَ لَمَوْعِدُهُمْ أَجْمَعِينَ
Na bila shaka Jahannamu ndipo pahali pao walipo ahidiwa wote.
44لَهَا سَبْعَةُ أَبْوَابٍ لِّكُلِّ بَابٍ مِّنْهُمْ جُزْءٌ مَّقْسُومٌ
Ina milango saba; na kwa kila mlango iko sehemu walio tengewa.
45إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika Mabustani na chemchem.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
43Aya

Tafsiri — Al-Hijr 43

Sura Al-Hijr Aya 43 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na bila shaka Jahannamu ndipo pahali pao walipo ahidiwa wote.

Sura Aya 43/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 41–45. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema