Al-Hijr · 75/99
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Hijr
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَاتٍ لِّلْمُتَوَسِّمِينَ ۝٧٥
Inna fee zaalika la Aayaatil lilmutawassimeen
📖 Kwa Kiswahili
Hakika katika hayo zipo ishara kwa waaguzi.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 73-77 — Al-Hijr

73فَأَخَذَتْهُمُ الصَّيْحَةُ مُشْرِقِينَ
Ukelele ukawatwaa wakipambaukiwa.
74فَجَعَلْنَا عَالِيَهَا سَافِلَهَا وَأَمْطَرْنَا عَلَيْهِمْ حِجَارَةً مِّن سِجِّيلٍ
Na tukaigeuza nchi juu chini, na tukawanyeshea mvua ya mawe ya udongo wa Motoni.
75إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَاتٍ لِّلْمُتَوَسِّمِينَ
Hakika katika hayo zipo ishara kwa waaguzi.
76وَإِنَّهَا لَبِسَبِيلٍ مُّقِيمٍ
Na miji hii ipo kwenye njia inayo pitiwa.
77إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً لِّلْمُؤْمِنِينَ
Hakika katika hayo ipo ishara kwa Waumini.
Al-HijrFaharasa ya Qurani
99Aya
MakkaRevelation
75Aya

Tafsiri — Al-Hijr 75

Sura Al-Hijr Aya 75 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika katika hayo zipo ishara kwa waaguzi.

Sura Aya 75/99 — Al-Hijr الحجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Hijr Sikiliza, Al-Hijr Tafsiri, Al-Hijr mp3, Al-Hijr pdf. Aya 73–77. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema