Maryam · 52/98
Tafsiri Uandishi wa sauti — Maryam
وَنَادَيْنَاهُ مِن جَانِبِ الطُّورِ الْأَيْمَنِ وَقَرَّبْنَاهُ نَجِيًّا ۝٥٢
Wa naadainaahu min jaanibit Tooril aimani wa qarrabnaahu najiyyaa
📖 Kwa Kiswahili
Na tulimwita upande wa kulia wa mlima na tukamsogeza kunong'ona naye.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 50-54 — Maryam

50وَوَهَبْنَا لَهُم مِّن رَّحْمَتِنَا وَجَعَلْنَا لَهُمْ لِسَانَ صِدْقٍ عَلِيًّا
Na tukawapa rehema zetu na tukawajaalia kupewa sifa za kweli tukufu.
51وَاذْكُرْ فِي الْكِتَابِ مُوسَىٰ ۚ إِنَّهُ كَانَ مُخْلَصًا وَكَانَ رَسُولًا نَّبِيًّا
Na mtaje Musa katika Kitabu. Hakika yeye alikuwa ni mwenye kuchaguliwa, na alikuwa Mtume, Nabii.
52وَنَادَيْنَاهُ مِن جَانِبِ الطُّورِ الْأَيْمَنِ وَقَرَّبْنَاهُ نَجِيًّا
Na tulimwita upande wa kulia wa mlima na tukamsogeza kunong'ona naye.
53وَوَهَبْنَا لَهُ مِن رَّحْمَتِنَا أَخَاهُ هَارُونَ نَبِيًّا
Nasi kwa rehema zetu tukampa nduguye, Harun, awe Nabii.
54وَاذْكُرْ فِي الْكِتَابِ إِسْمَاعِيلَ ۚ إِنَّهُ كَانَ صَادِقَ الْوَعْدِ وَكَانَ رَسُولًا نَّبِيًّا
Na mtaje katika Kitabu Ismail. Bila ya shaka yeye alikuwa ni mkweli wa ahadi, na alikuwa Mtume, Nabii.
MaryamFaharasa ya Qurani
98Aya
MakkaRevelation
52Aya

Tafsiri — Maryam 52

Sura Maryam Aya 52 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tulimwita upande wa kulia wa mlima na tukamsogeza kunong'ona…

Sura Aya 52/98 — Maryam مريم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Maryam Sikiliza, Maryam Tafsiri, Maryam mp3, Maryam pdf. Aya 50–54. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema