Maryam · 95/98
Tafsiri Uandishi wa sauti — Maryam
وَكُلُّهُمْ آتِيهِ يَوْمَ الْقِيَامَةِ فَرْدًا ۝٩٥
Wa kulluhum aateehi Yawmal Qiyaamati fardaa
📖 Kwa Kiswahili
Na kila mmoja katika wao atamfikia Siku ya Kiyama peke yake.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 93-97 — Maryam

93إِن كُلُّ مَن فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ إِلَّا آتِي الرَّحْمَٰنِ عَبْدًا
Hapana yeyote aliomo mbinguni na ardhini ila atafika kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema kuwa ni mtumwa wake.
94لَّقَدْ أَحْصَاهُمْ وَعَدَّهُمْ عَدًّا
Yeye hakika amewadhibiti na amewahisabu sawa sawa.
95وَكُلُّهُمْ آتِيهِ يَوْمَ الْقِيَامَةِ فَرْدًا
Na kila mmoja katika wao atamfikia Siku ya Kiyama peke yake.
96إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ سَيَجْعَلُ لَهُمُ الرَّحْمَٰنُ وُدًّا
Hakika walio amini na wakatenda mema Arrahmani Mwingi wa Rehema atawajaalia mapenzi.
97فَإِنَّمَا يَسَّرْنَاهُ بِلِسَانِكَ لِتُبَشِّرَ بِهِ الْمُتَّقِينَ وَتُنذِرَ بِهِ قَوْمًا لُّدًّا
Na hakika tumeifanya nyepesi (Qur'ani) kwa ulimi wako, ili uwabashirie kwayo wachamngu, na uwaonye kwayo watu wabishi.
MaryamFaharasa ya Qurani
98Aya
MakkaRevelation
95Aya

Tafsiri — Maryam 95

Sura Maryam Aya 95 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na kila mmoja katika wao atamfikia Siku ya Kiyama peke…

Sura Aya 95/98 — Maryam مريم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Maryam Sikiliza, Maryam Tafsiri, Maryam mp3, Maryam pdf. Aya 93–97. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema