Ash-Shu'ara · 111/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
۞ قَالُوا أَنُؤْمِنُ لَكَ وَاتَّبَعَكَ الْأَرْذَلُونَ ۝١١١
Qaalooo anu`minu laka wattaba `akal arzaloon
📖 Kwa Kiswahili
Wakasema: Je! Tukuamini wewe, hali wanao kufuata ni watu wa chini?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 109-113 — Ash-Shu'ara

109وَمَا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Na sikutakini juu yake ujira, kwani ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
110فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
111۞ قَالُوا أَنُؤْمِنُ لَكَ وَاتَّبَعَكَ الْأَرْذَلُونَ
Wakasema: Je! Tukuamini wewe, hali wanao kufuata ni watu wa chini?
112قَالَ وَمَا عِلْمِي بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
Akasema: Nayajuaje waliyo kuwa wakiyafanya?
113إِنْ حِسَابُهُمْ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّي ۖ لَوْ تَشْعُرُونَ
Hisabu yao haiko ila kwa Mola wao Mlezi, laiti mngeli tambua!
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
111Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 111

Sura Ash-Shu'ara Aya 111 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Wakasema: Je! Tukuamini wewe, hali wanao kufuata ni watu wa…

Sura Aya 111/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 109–113. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema