Ash-Shu'ara · 110/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ ۝١١٠
Fattaqul laaha wa atee`oon
📖 Kwa Kiswahili
Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 108-112 — Ash-Shu'ara

108فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
109وَمَا أَسْأَلُكُمْ عَلَيْهِ مِنْ أَجْرٍ ۖ إِنْ أَجْرِيَ إِلَّا عَلَىٰ رَبِّ الْعَالَمِينَ
Na sikutakini juu yake ujira, kwani ujira wangu hauko ila kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
110فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.
111۞ قَالُوا أَنُؤْمِنُ لَكَ وَاتَّبَعَكَ الْأَرْذَلُونَ
Wakasema: Je! Tukuamini wewe, hali wanao kufuata ni watu wa chini?
112قَالَ وَمَا عِلْمِي بِمَا كَانُوا يَعْمَلُونَ
Akasema: Nayajuaje waliyo kuwa wakiyafanya?
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
110Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 110

Sura Ash-Shu'ara Aya 110 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi Mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini mimi.

Sura Aya 110/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 108–112. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema