Ash-Shu'ara · 133/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
أَمَدَّكُم بِأَنْعَامٍ وَبَنِينَ ۝١٣٣
Amaddakum bi an`aa minw wa baneen
📖 Kwa Kiswahili
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 131-135 — Ash-Shu'ara

131فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.
132وَاتَّقُوا الَّذِي أَمَدَّكُم بِمَا تَعْلَمُونَ
Na mcheni aliye kupeni haya mnayo yajua.
133أَمَدَّكُم بِأَنْعَامٍ وَبَنِينَ
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
134وَجَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Na mabustani na chemchem.
135إِنِّي أَخَافُ عَلَيْكُمْ عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ
Hakika mimi ninakukhofieni adhabu ya Siku Kubwa.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
133Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 133

Sura Ash-Shu'ara Aya 133 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.

Sura Aya 133/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 131–135. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema