Ash-Shu'ara · 56/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
وَإِنَّا لَجَمِيعٌ حَاذِرُونَ ۝٥٦
Wa innaa lajamee`un haaziroon
📖 Kwa Kiswahili
Na sisi ni wengi, wenye kuchukua hadhari.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 54-58 — Ash-Shu'ara

54إِنَّ هَٰؤُلَاءِ لَشِرْذِمَةٌ قَلِيلُونَ
(Wakieneza): Hakika hawa ni kikundi kidogo.
55وَإِنَّهُمْ لَنَا لَغَائِظُونَ
Nao wanatuudhi.
56وَإِنَّا لَجَمِيعٌ حَاذِرُونَ
Na sisi ni wengi, wenye kuchukua hadhari.
57فَأَخْرَجْنَاهُم مِّن جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Basi tukawatoa katika mabustani na chemchem,
58وَكُنُوزٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ
Na makhazina, na vyeo vya hishima,
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
56Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 56

Sura Ash-Shu'ara Aya 56 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na sisi ni wengi, wenye kuchukua hadhari.

Sura Aya 56/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 54–58. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema