Ash-Shu'ara · 57/227
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ash-Shu'ara
فَأَخْرَجْنَاهُم مِّن جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ ۝٥٧
Fa akhrajnaahum min Jannaatinw wa `uyoon
📖 Kwa Kiswahili
Basi tukawatoa katika mabustani na chemchem,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 55-59 — Ash-Shu'ara

55وَإِنَّهُمْ لَنَا لَغَائِظُونَ
Nao wanatuudhi.
56وَإِنَّا لَجَمِيعٌ حَاذِرُونَ
Na sisi ni wengi, wenye kuchukua hadhari.
57فَأَخْرَجْنَاهُم مِّن جَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Basi tukawatoa katika mabustani na chemchem,
58وَكُنُوزٍ وَمَقَامٍ كَرِيمٍ
Na makhazina, na vyeo vya hishima,
59كَذَٰلِكَ وَأَوْرَثْنَاهَا بَنِي إِسْرَائِيلَ
Kadhaalika; na tukawarithisha hayo Wana wa Israili.
Ash-Shu'araFaharasa ya Qurani
227Aya
MakkaRevelation
57Aya

Tafsiri — Ash-Shu'ara 57

Sura Ash-Shu'ara Aya 57 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi tukawatoa katika mabustani na chemchem,

Sura Aya 57/227 — Ash-Shu'ara الشعراء (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ash-Shu'ara Sikiliza, Ash-Shu'ara Tafsiri, Ash-Shu'ara mp3, Ash-Shu'ara pdf. Aya 55–59. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema