As-Sajda · 30/30
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Sajda
فَأَعْرِضْ عَنْهُمْ وَانتَظِرْ إِنَّهُم مُّنتَظِرُونَ ۝٣٠
Fa a`rid `anhum wantazir innahum muntazirron
📖 Kwa Kiswahili
Basi wapuuze, nawe ngonja; hakika wao wanangoja.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 28-30 — As-Sajda

28وَيَقُولُونَ مَتَىٰ هَٰذَا الْفَتْحُ إِن كُنتُمْ صَادِقِينَ
Wanasema: Ushindi huu ni lini, kama mnasema kweli?
29قُلْ يَوْمَ الْفَتْحِ لَا يَنفَعُ الَّذِينَ كَفَرُوا إِيمَانُهُمْ وَلَا هُمْ يُنظَرُونَ
Sema: Siku ya Ushindi, wale walio kufuru imani yao haitawafaa kitu, wala wao hawatapewa muhula.
30فَأَعْرِضْ عَنْهُمْ وَانتَظِرْ إِنَّهُم مُّنتَظِرُونَ
Basi wapuuze, nawe ngonja; hakika wao wanangoja.
As-SajdaFaharasa ya Qurani
30Aya
MakkaRevelation
30Aya

Tafsiri — As-Sajda 30

Sura As-Sajda Aya 30 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi wapuuze, nawe ngonja; hakika wao wanangoja.

Sura Aya 30/30 — As-Sajda السجدة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Sajda Sikiliza, As-Sajda Tafsiri, As-Sajda mp3, As-Sajda pdf. Aya 28–30. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema