As-Saffat · 118/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَهَدَيْنَاهُمَا الصِّرَاطَ الْمُسْتَقِيمَ ۝١١٨
Wa hadainaahumus Siraatal Mustaqeem
📖 Kwa Kiswahili
Na tukawaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 116-120 — As-Saffat

116وَنَصَرْنَاهُمْ فَكَانُوا هُمُ الْغَالِبِينَ
Na tukawanusuru; na wakawa wao ndio wenye kushinda.
117وَآتَيْنَاهُمَا الْكِتَابَ الْمُسْتَبِينَ
Na tukawapa wawili hao Kitabu kinacho bainisha.
118وَهَدَيْنَاهُمَا الصِّرَاطَ الْمُسْتَقِيمَ
Na tukawaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka.
119وَتَرَكْنَا عَلَيْهِمَا فِي الْآخِرِينَ
Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.
120سَلَامٌ عَلَىٰ مُوسَىٰ وَهَارُونَ
Iwe salama kwa Musa na Haruni!
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
118Aya

Tafsiri — As-Saffat 118

Sura As-Saffat Aya 118 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tukawaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka.

Sura Aya 118/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 116–120. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema