As-Saffat · 117/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَآتَيْنَاهُمَا الْكِتَابَ الْمُسْتَبِينَ ۝١١٧
Wa aatainaahumal Kitaabal mustabeen
📖 Kwa Kiswahili
Na tukawapa wawili hao Kitabu kinacho bainisha.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 115-119 — As-Saffat

115وَنَجَّيْنَاهُمَا وَقَوْمَهُمَا مِنَ الْكَرْبِ الْعَظِيمِ
Na tukawaokoa wao na watu wao kutokana na dhiki kubwa.
116وَنَصَرْنَاهُمْ فَكَانُوا هُمُ الْغَالِبِينَ
Na tukawanusuru; na wakawa wao ndio wenye kushinda.
117وَآتَيْنَاهُمَا الْكِتَابَ الْمُسْتَبِينَ
Na tukawapa wawili hao Kitabu kinacho bainisha.
118وَهَدَيْنَاهُمَا الصِّرَاطَ الْمُسْتَقِيمَ
Na tukawaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka.
119وَتَرَكْنَا عَلَيْهِمَا فِي الْآخِرِينَ
Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
117Aya

Tafsiri — As-Saffat 117

Sura As-Saffat Aya 117 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tukawapa wawili hao Kitabu kinacho bainisha.

Sura Aya 117/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 115–119. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema