As-Saffat · 119/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَتَرَكْنَا عَلَيْهِمَا فِي الْآخِرِينَ ۝١١٩
Wa taraknaa `alaihimaa fil aakhireen
📖 Kwa Kiswahili
Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 117-121 — As-Saffat

117وَآتَيْنَاهُمَا الْكِتَابَ الْمُسْتَبِينَ
Na tukawapa wawili hao Kitabu kinacho bainisha.
118وَهَدَيْنَاهُمَا الصِّرَاطَ الْمُسْتَقِيمَ
Na tukawaongoa kwenye Njia Iliyo Nyooka.
119وَتَرَكْنَا عَلَيْهِمَا فِي الْآخِرِينَ
Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.
120سَلَامٌ عَلَىٰ مُوسَىٰ وَهَارُونَ
Iwe salama kwa Musa na Haruni!
121إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Hakika hivyo ndivyo tunavyo walipa walio wema.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
119Aya

Tafsiri — As-Saffat 119

Sura As-Saffat Aya 119 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tukawaachia (sifa njema) katika watu walio kuja baadaye.

Sura Aya 119/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 117–121. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema