As-Saffat · 14/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَإِذَا رَأَوْا آيَةً يَسْتَسْخِرُونَ ۝١٤
Wa izaa ra aw Aayatinw yastaskhiroon
📖 Kwa Kiswahili
Na wanapo ona Ishara, wanafanya maskhara.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 12-16 — As-Saffat

12بَلْ عَجِبْتَ وَيَسْخَرُونَ
Bali unastaajabu, na wao wanafanya maskhara.
13وَإِذَا ذُكِّرُوا لَا يَذْكُرُونَ
Na wanapo kumbushwa hawakumbuki.
14وَإِذَا رَأَوْا آيَةً يَسْتَسْخِرُونَ
Na wanapo ona Ishara, wanafanya maskhara.
15وَقَالُوا إِنْ هَٰذَا إِلَّا سِحْرٌ مُّبِينٌ
Na husema: Haya si chochote ila ni uchawi tu ulio dhaahiri.
16أَإِذَا مِتْنَا وَكُنَّا تُرَابًا وَعِظَامًا أَإِنَّا لَمَبْعُوثُونَ
Ati tukisha kufa na tukawa udongo na mifupa ndio kweli tutafufuliwa?
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
14Aya

Tafsiri — As-Saffat 14

Sura As-Saffat Aya 14 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wanapo ona Ishara, wanafanya maskhara.

Sura Aya 14/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 12–16. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema