As-Saffat · 13/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
وَإِذَا ذُكِّرُوا لَا يَذْكُرُونَ ۝١٣
Wa izaa zukkiroo laa yazkuroon
📖 Kwa Kiswahili
Na wanapo kumbushwa hawakumbuki.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 11-15 — As-Saffat

11فَاسْتَفْتِهِمْ أَهُمْ أَشَدُّ خَلْقًا أَم مَّنْ خَلَقْنَا ۚ إِنَّا خَلَقْنَاهُم مِّن طِينٍ لَّازِبٍ
Hebu waulize: Je! Wao ni wenye umbo gumu zaidi au hao wengine tulio waumba. Hakika Sisi tuliwaumba wao kwa udongo unao nata.
12بَلْ عَجِبْتَ وَيَسْخَرُونَ
Bali unastaajabu, na wao wanafanya maskhara.
13وَإِذَا ذُكِّرُوا لَا يَذْكُرُونَ
Na wanapo kumbushwa hawakumbuki.
14وَإِذَا رَأَوْا آيَةً يَسْتَسْخِرُونَ
Na wanapo ona Ishara, wanafanya maskhara.
15وَقَالُوا إِنْ هَٰذَا إِلَّا سِحْرٌ مُّبِينٌ
Na husema: Haya si chochote ila ni uchawi tu ulio dhaahiri.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
13Aya

Tafsiri — As-Saffat 13

Sura As-Saffat Aya 13 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wanapo kumbushwa hawakumbuki.

Sura Aya 13/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 11–15. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema