As-Saffat · 159/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
سُبۡحَٰنَ ٱللَّهِ عَمَّا يَصِفُونَ  ۝١٥٩
Subhaanal laahi `ammaa yasifoon
📖 Kwa Kiswahili
Subhana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 157-161 — As-Saffat

157فَأۡتُواْ بِكِتَٰبِكُمۡ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ 
Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.
158وَجَعَلُواْ بَيۡنَهُۥ وَبَيۡنَ ٱلۡجِنَّةِ نَسَبًاۚ وَلَقَدۡ عَلِمَتِ ٱلۡجِنَّةُ إِنَّهُمۡ لَمُحۡضَرُونَ 
Na wameweka makhusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa.
159سُبۡحَٰنَ ٱللَّهِ عَمَّا يَصِفُونَ 
Subhana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia.
160إِلَّا عِبَادَ ٱللَّهِ ٱلۡمُخۡلَصِينَ 
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.
161فَإِنَّكُمۡ وَمَا تَعۡبُدُونَ 
Basi hakika nyinyi na mnao waabudu
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
159Aya

Tafsiri — As-Saffat 159

Sura Aya 159/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 157–161. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema