As-Saffat · 160/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
إِلَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ ۝١٦٠
Illaa `ibaadal laahil mukhlaseen
📖 Kwa Kiswahili
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 158-162 — As-Saffat

158وَجَعَلُوا بَيْنَهُ وَبَيْنَ الْجِنَّةِ نَسَبًا ۚ وَلَقَدْ عَلِمَتِ الْجِنَّةُ إِنَّهُمْ لَمُحْضَرُونَ
Na wameweka makhusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa.
159سُبْحَانَ اللَّهِ عَمَّا يَصِفُونَ
Subhana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia.
160إِلَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.
161فَإِنَّكُمْ وَمَا تَعْبُدُونَ
Basi hakika nyinyi na mnao waabudu
162مَا أَنتُمْ عَلَيْهِ بِفَاتِنِينَ
Hamwezi kuwapoteza
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
160Aya

Tafsiri — As-Saffat 160

Sura As-Saffat Aya 160 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.

Sura Aya 160/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 158–162. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema