As-Saffat · 70/182
Tafsiri Uandishi wa sauti — As-Saffat
فَهُمْ عَلَىٰ آثَارِهِمْ يُهْرَعُونَ ۝٧٠
Fahum `alaa aasaarihim yuhra`oon
📖 Kwa Kiswahili
Na wao wakafanya haraka kufuata nyayo zao.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 68-72 — As-Saffat

68ثُمَّ إِنَّ مَرْجِعَهُمْ لَإِلَى الْجَحِيمِ
Kisha hakika marejeo yao bila ya shaka yatakuwa kwenye Jahannamu.
69إِنَّهُمْ أَلْفَوْا آبَاءَهُمْ ضَالِّينَ
Hakika waliwakuta baba zao wamepotea.
70فَهُمْ عَلَىٰ آثَارِهِمْ يُهْرَعُونَ
Na wao wakafanya haraka kufuata nyayo zao.
71وَلَقَدْ ضَلَّ قَبْلَهُمْ أَكْثَرُ الْأَوَّلِينَ
Na bila ya shaka walikwisha potea kabla yao wengi wa watu wa zamani.
72وَلَقَدْ أَرْسَلْنَا فِيهِم مُّنذِرِينَ
Na Sisi hakika tuliwapelekea waonyaji.
As-SaffatFaharasa ya Qurani
182Aya
MakkaRevelation
70Aya

Tafsiri — As-Saffat 70

Sura As-Saffat Aya 70 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na wao wakafanya haraka kufuata nyayo zao.

Sura Aya 70/182 — As-Saffat الصافات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: As-Saffat Sikiliza, As-Saffat Tafsiri, As-Saffat mp3, As-Saffat pdf. Aya 68–72. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema