Ad-Dukhan · 4/59
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ad-Dukhan
فِيهَا يُفْرَقُ كُلُّ أَمْرٍ حَكِيمٍ ۝٤
Feehaa yufraqu kullu amrin hakeem
📖 Kwa Kiswahili
Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 2-6 — Ad-Dukhan

2وَالْكِتَابِ الْمُبِينِ
Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha,
3إِنَّا أَنزَلْنَاهُ فِي لَيْلَةٍ مُّبَارَكَةٍ ۚ إِنَّا كُنَّا مُنذِرِينَ
Hakika tumekiteremsha katika usiku ulio barikiwa. Hakika Sisi ni Waonyaji.
4فِيهَا يُفْرَقُ كُلُّ أَمْرٍ حَكِيمٍ
Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima,
5أَمْرًا مِّنْ عِندِنَا ۚ إِنَّا كُنَّا مُرْسِلِينَ
Jambo litokalo kwetu. Hakika Sisi ndio wenye kutuma.
6رَحْمَةً مِّن رَّبِّكَ ۚ إِنَّهُ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
Ni rehema itokayo kwa Mola wako Mlezi. Hakika Yeye ni Mwenye kusikia Mwenye kujua.
Ad-DukhanFaharasa ya Qurani
59Aya
MakkaRevelation
4Aya

Tafsiri — Ad-Dukhan 4

Sura Ad-Dukhan Aya 4 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Katika usiku huu hubainishwa kila jambo la hikima,

Sura Aya 4/59 — Ad-Dukhan الدخان (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ad-Dukhan Sikiliza, Ad-Dukhan Tafsiri, Ad-Dukhan mp3, Ad-Dukhan pdf. Aya 2–6. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema