Adh-Dhariyat · 45/60
Tafsiri Uandishi wa sauti — Adh-Dhariyat
فَمَا اسْتَطَاعُوا مِن قِيَامٍ وَمَا كَانُوا مُنتَصِرِينَ ۝٤٥
Famas tataa`oo min qiyaaminw wa maa kaanoo muntasireen
📖 Kwa Kiswahili
Basi hawakuweza kusimama wala hawakuwa wenye kujitetea.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 43-47 — Adh-Dhariyat

43وَفِي ثَمُودَ إِذْ قِيلَ لَهُمْ تَمَتَّعُوا حَتَّىٰ حِينٍ
Na katika khabari za Thamudi walipo ambiwa: Jifurahisheni kwa muda mdogo tu.
44فَعَتَوْا عَنْ أَمْرِ رَبِّهِمْ فَأَخَذَتْهُمُ الصَّاعِقَةُ وَهُمْ يَنظُرُونَ
Wakaasi amri ya Mola wao Mlezi. Basi uliwanyakua moto wa radi nao wanaona.
45فَمَا اسْتَطَاعُوا مِن قِيَامٍ وَمَا كَانُوا مُنتَصِرِينَ
Basi hawakuweza kusimama wala hawakuwa wenye kujitetea.
46وَقَوْمَ نُوحٍ مِّن قَبْلُ ۖ إِنَّهُمْ كَانُوا قَوْمًا فَاسِقِينَ
Na kaumu ya Nuhu hapo mbele. Hakika hao walikuwa watu wapotovu.
47وَالسَّمَاءَ بَنَيْنَاهَا بِأَيْدٍ وَإِنَّا لَمُوسِعُونَ
Na mbingu tumezifanya kwa nguvu na uwezo na hakika Sisi bila ya shaka ndio twenye uwezo wa kuzitanua.
Adh-DhariyatFaharasa ya Qurani
60Aya
MakkaRevelation
45Aya

Tafsiri — Adh-Dhariyat 45

Sura Adh-Dhariyat Aya 45 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi hawakuweza kusimama wala hawakuwa wenye kujitetea.

Sura Aya 45/60 — Adh-Dhariyat الذاريات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Adh-Dhariyat Sikiliza, Adh-Dhariyat Tafsiri, Adh-Dhariyat mp3, Adh-Dhariyat pdf. Aya 43–47. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema