An-Najm · 58/62
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Najm
لَيْسَ لَهَا مِن دُونِ اللَّهِ كَاشِفَةٌ ۝٥٨
Laisa lahaa min doonil laahi kaashifah
📖 Kwa Kiswahili
Hapana wa kukifichua isipo kuwa Mwenyezi Mungu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 56-60 — An-Najm

56هَٰذَا نَذِيرٌ مِّنَ النُّذُرِ الْأُولَىٰ
Hili ni Onyo katika maonyo yale yale ya zamani.
57أَزِفَتِ الْآزِفَةُ
Kiyama kimekaribia!
58لَيْسَ لَهَا مِن دُونِ اللَّهِ كَاشِفَةٌ
Hapana wa kukifichua isipo kuwa Mwenyezi Mungu.
59أَفَمِنْ هَٰذَا الْحَدِيثِ تَعْجَبُونَ
Je! Mnayastaajabia maneno haya?
60وَتَضْحَكُونَ وَلَا تَبْكُونَ
Na mnacheka, wala hamlii?
An-NajmFaharasa ya Qurani
62Aya
MakkaRevelation
58Aya

Tafsiri — An-Najm 58

Sura An-Najm Aya 58 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hapana wa kukifichua isipo kuwa Mwenyezi Mungu.

Sura Aya 58/62 — An-Najm النجم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Najm Sikiliza, An-Najm Tafsiri, An-Najm mp3, An-Najm pdf. Aya 56–60. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema