Al-Qamar · 47/55
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qamar
إِنَّ الْمُجْرِمِينَ فِي ضَلَالٍ وَسُعُرٍ ۝٤٧
Innal mujrimeena fee dalaalinw wa su`ur
📖 Kwa Kiswahili
Hakika wakosefu wamo katika upotofu na wazimu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 45-49 — Al-Qamar

45سَيُهْزَمُ الْجَمْعُ وَيُوَلُّونَ الدُّبُرَ
Wingi wao huu utashindwa, na wao watasukumwa nyuma.
46بَلِ السَّاعَةُ مَوْعِدُهُمْ وَالسَّاعَةُ أَدْهَىٰ وَأَمَرُّ
Bali Saa ya Kiyama ndio miadi yao, na Saa hiyo ni nzito zaidi na chungu zaidi.
47إِنَّ الْمُجْرِمِينَ فِي ضَلَالٍ وَسُعُرٍ
Hakika wakosefu wamo katika upotofu na wazimu.
48يَوْمَ يُسْحَبُونَ فِي النَّارِ عَلَىٰ وُجُوهِهِمْ ذُوقُوا مَسَّ سَقَرَ
Siku watakapo kokotwa Motoni kifudifudi waambiwe: Onjeni mguso wa Jahannamu!
49إِنَّا كُلَّ شَيْءٍ خَلَقْنَاهُ بِقَدَرٍ
Kwa hakika Sisi tumekiumba kila kitu kwa kipimo.
Al-QamarFaharasa ya Qurani
55Aya
MakkaRevelation
47Aya

Tafsiri — Al-Qamar 47

Sura Al-Qamar Aya 47 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika wakosefu wamo katika upotofu na wazimu.

Sura Aya 47/55 — Al-Qamar القمر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qamar Sikiliza, Al-Qamar Tafsiri, Al-Qamar mp3, Al-Qamar pdf. Aya 45–49. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema