Ar-Rahman · 13/78
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ar-Rahman
فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ ۝١٣
Fabi ayyi aalaaa`i Rabbikumaa tukazzibaan
📖 Kwa Kiswahili
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
🎧 Sikiliza

📜 Aya 11-15 — Ar-Rahman

11فِيهَا فَاكِهَةٌ وَالنَّخْلُ ذَاتُ الْأَكْمَامِ
Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba.
12وَالْحَبُّ ذُو الْعَصْفِ وَالرَّيْحَانُ
Na nafaka zenye makapi, na rehani.
13فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
14خَلَقَ الْإِنسَانَ مِن صَلْصَالٍ كَالْفَخَّارِ
Amemuumba mtu kwa udongo wa kinamo..
15وَخَلَقَ الْجَانَّ مِن مَّارِجٍ مِّن نَّارٍ
Na akawaumba majini kwa ulimi wa moto.
Ar-RahmanFaharasa ya Qurani
78Aya
MadinaRevelation
13Aya

Tafsiri — Ar-Rahman 13

Sura Ar-Rahman Aya 13 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo…

Sura Aya 13/78 — Ar-Rahman الرحمن (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ar-Rahman Sikiliza, Ar-Rahman Tafsiri, Ar-Rahman mp3, Ar-Rahman pdf. Aya 11–15. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema