Ar-Rahman · 24/78
Tafsiri Uandishi wa sauti — Ar-Rahman
وَلَهُ الْجَوَارِ الْمُنشَآتُ فِي الْبَحْرِ كَالْأَعْلَامِ ۝٢٤
Wa lahul jawaaril mun sha`aatu fil bahri kal a`laam
📖 Kwa Kiswahili
Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 22-26 — Ar-Rahman

22يَخْرُجُ مِنْهُمَا اللُّؤْلُؤُ وَالْمَرْجَانُ
Katika hizo bahari mbili zinatoka lulu na marijani.
23فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
24وَلَهُ الْجَوَارِ الْمُنشَآتُ فِي الْبَحْرِ كَالْأَعْلَامِ
Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama vilima.
25فَبِأَيِّ آلَاءِ رَبِّكُمَا تُكَذِّبَانِ
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
26كُلُّ مَنْ عَلَيْهَا فَانٍ
Kila kilioko juu yake kitatoweka.
Ar-RahmanFaharasa ya Qurani
78Aya
MadinaRevelation
24Aya

Tafsiri — Ar-Rahman 24

Sura Ar-Rahman Aya 24 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ni vyake Yeye hivi viendavyo baharini vilivyo undwa kama…

Sura Aya 24/78 — Ar-Rahman الرحمن (Madina). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Ar-Rahman Sikiliza, Ar-Rahman Tafsiri, Ar-Rahman mp3, Ar-Rahman pdf. Aya 22–26. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema