Al-Qalam · 14/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
أَن كَانَ ذَا مَالٍ وَبَنِينَ ۝١٤
An kaana zaa maalinw-wa baneen
📖 Kwa Kiswahili
Ati kwa kuwa ana mali na watoto!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 12-16 — Al-Qalam

12مَّنَّاعٍ لِّلْخَيْرِ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ
Mwenye kuzuia kheri, dhaalimu, mwingi wa madhambi,
13عُتُلٍّ بَعْدَ ذَٰلِكَ زَنِيمٍ
Mkavu, na juu ya hayo, mshari, amejipachika tu.
14أَن كَانَ ذَا مَالٍ وَبَنِينَ
Ati kwa kuwa ana mali na watoto!
15إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ
Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
16سَنَسِمُهُ عَلَى الْخُرْطُومِ
Tutamtia kovu juu ya pua yake.
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
14Aya

Tafsiri — Al-Qalam 14

Sura Al-Qalam Aya 14 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Ati kwa kuwa ana mali na watoto!

Sura Aya 14/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 12–16. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema