Al-Qalam · 13/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qalam
عُتُلٍّ بَعْدَ ذَٰلِكَ زَنِيمٍ ۝١٣
Utullim ba`da zaalika zaneem
📖 Kwa Kiswahili
Mkavu, na juu ya hayo, mshari, amejipachika tu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 11-15 — Al-Qalam

11هَمَّازٍ مَّشَّاءٍ بِنَمِيمٍ
Mtapitapi, apitaye akifitini,
12مَّنَّاعٍ لِّلْخَيْرِ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ
Mwenye kuzuia kheri, dhaalimu, mwingi wa madhambi,
13عُتُلٍّ بَعْدَ ذَٰلِكَ زَنِيمٍ
Mkavu, na juu ya hayo, mshari, amejipachika tu.
14أَن كَانَ ذَا مَالٍ وَبَنِينَ
Ati kwa kuwa ana mali na watoto!
15إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ
Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
Al-QalamFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
13Aya

Tafsiri — Al-Qalam 13

Sura Al-Qalam Aya 13 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Mkavu, na juu ya hayo, mshari, amejipachika tu.

Sura Aya 13/52 — Al-Qalam القلم (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qalam Sikiliza, Al-Qalam Tafsiri, Al-Qalam mp3, Al-Qalam pdf. Aya 11–15. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema