Al-Haqqa · 20/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
إِنِّي ظَنَنتُ أَنِّي مُلَاقٍ حِسَابِيَهْ ۝٢٠
Innee zannantu annee mulaaqin hisaabiyah
📖 Kwa Kiswahili
Hakika nalijua ya kuwa nitapokea hisabu yangu.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 18-22 — Al-Haqqa

18يَوْمَئِذٍ تُعْرَضُونَ لَا تَخْفَىٰ مِنكُمْ خَافِيَةٌ
Siku hiyo mtahudhurishwa - haitafichika siri yoyote yenu.
19فَأَمَّا مَنْ أُوتِيَ كِتَابَهُ بِيَمِينِهِ فَيَقُولُ هَاؤُمُ اقْرَءُوا كِتَابِيَهْ
Basi ama atakaye pewa kitabu chake kwa mkono wake wa kulia, atasema: Haya someni kitabu changu!
20إِنِّي ظَنَنتُ أَنِّي مُلَاقٍ حِسَابِيَهْ
Hakika nalijua ya kuwa nitapokea hisabu yangu.
21فَهُوَ فِي عِيشَةٍ رَّاضِيَةٍ
Basi yeye atakuwa katika maisha ya kupendeza,
22فِي جَنَّةٍ عَالِيَةٍ
Katika Bustani ya juu,
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
20Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 20

Sura Al-Haqqa Aya 20 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika nalijua ya kuwa nitapokea hisabu yangu.

Sura Aya 20/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 18–22. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema