Al-Haqqa · 44/52
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Haqqa
وَلَوْ تَقَوَّلَ عَلَيْنَا بَعْضَ الْأَقَاوِيلِ ۝٤٤
Wa law taqawwala `alainaa ba`dal aqaaweel
📖 Kwa Kiswahili
Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 42-46 — Al-Haqqa

42وَلَا بِقَوْلِ كَاهِنٍ ۚ قَلِيلًا مَّا تَذَكَّرُونَ
Wala si kauli ya kuhani. Ni machache mnayo yakumbuka.
43تَنزِيلٌ مِّن رَّبِّ الْعَالَمِينَ
Ni uteremsho utokao kwa Mola Mlezi wa walimwengu wote.
44وَلَوْ تَقَوَّلَ عَلَيْنَا بَعْضَ الْأَقَاوِيلِ
Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,
45لَأَخَذْنَا مِنْهُ بِالْيَمِينِ
Bila ya shaka tungeli mshika kwa mkono wa kulia,
46ثُمَّ لَقَطَعْنَا مِنْهُ الْوَتِينَ
Kisha kwa hakika tungeli mkata mshipa mkubwa wa moyo!
Al-HaqqaFaharasa ya Qurani
52Aya
MakkaRevelation
44Aya

Tafsiri — Al-Haqqa 44

Sura Al-Haqqa Aya 44 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na lau kama angeli tuzulia baadhi ya maneno tu,

Sura Aya 44/52 — Al-Haqqa الحاقة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Haqqa Sikiliza, Al-Haqqa Tafsiri, Al-Haqqa mp3, Al-Haqqa pdf. Aya 42–46. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema