Al-Ma'arij · 21/44
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Ma'arij
وَإِذَا مَسَّهُ الْخَيْرُ مَنُوعًا ۝٢١
Wa izaa massahul khairu manoo`aa
📖 Kwa Kiswahili
Na inapo mgusa kheri huizuilia.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 19-23 — Al-Ma'arij

19۞ إِنَّ الْإِنسَانَ خُلِقَ هَلُوعًا
Hakika mtu ameumbwa na papara.
20إِذَا مَسَّهُ الشَّرُّ جَزُوعًا
Inapo mgusa shari hupapatika.
21وَإِذَا مَسَّهُ الْخَيْرُ مَنُوعًا
Na inapo mgusa kheri huizuilia.
22إِلَّا الْمُصَلِّينَ
Isipo kuwa wanao sali,
23الَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ دَائِمُونَ
Ambao wanadumisha Sala zao,
Al-Ma'arijFaharasa ya Qurani
44Aya
MakkaRevelation
21Aya

Tafsiri — Al-Ma'arij 21

Sura Al-Ma'arij Aya 21 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na inapo mgusa kheri huizuilia.

Sura Aya 21/44 — Al-Ma'arij المعارج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Ma'arij Sikiliza, Al-Ma'arij Tafsiri, Al-Ma'arij mp3, Al-Ma'arij pdf. Aya 19–23. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema