Al-Muddaththir · 32/56
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muddaththir
كَلَّا وَالْقَمَرِ ۝٣٢
Kallaa walqamar
📖 Kwa Kiswahili
Hasha! Naapa kwa mwezi!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 30-34 — Al-Muddaththir

30عَلَيْهَا تِسْعَةَ عَشَرَ
Juu yake wapo kumi na tisa.
31وَمَا جَعَلْنَا أَصْحَابَ النَّارِ إِلَّا مَلَائِكَةً ۙ وَمَا جَعَلْنَا عِدَّتَهُمْ إِلَّا فِتْنَةً لِّلَّذِينَ كَفَرُوا لِيَسْتَيْقِنَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ وَيَزْدَادَ الَّذِينَ آمَنُوا إِيمَانًا ۙ وَلَا يَرْتَابَ الَّذِينَ أُوتُوا الْكِتَابَ وَالْمُؤْمِنُونَ ۙ وَلِيَقُولَ الَّذِينَ فِي قُلُوبِهِم مَّرَضٌ وَالْكَافِرُونَ مَاذَا أَرَادَ اللَّهُ بِهَٰذَا مَثَلًا ۚ كَذَٰلِكَ يُضِلُّ اللَّهُ مَن يَشَاءُ وَيَهْدِي مَن يَشَاءُ ۚ وَمَا يَعْلَمُ جُنُودَ رَبِّكَ إِلَّا هُوَ ۚ وَمَا هِيَ إِلَّا ذِكْرَىٰ لِلْبَشَرِ
Na hatukuwafanya walinzi wa Motoni ila ni Malaika, wala hatukuifanya idadi yao hiyo ila kuwatatanisha walio kufuru, wapate kuwa na yakini walio pewa Kitabu, na wazidi Imani wale walio amini, wala wasiwe na shaka walio pewa Kitabu na Waumini, na wapate kusema wenye maradhi katika nyoyo zao na makafiri: Mwenyezi Mungu amekusudia nini kwa mfano huu? Ndio kama hivyo Mwenyezi Mungu humwacha apotee amtakaye, na humwongoa amtakaye. Na hapana yeyote anaye jua majeshi ya Mola wako Mlezi ila Yeye tu. Na haya si chochote ila ni ukumbusho kwa binaadamu.
32كَلَّا وَالْقَمَرِ
Hasha! Naapa kwa mwezi!
33وَاللَّيْلِ إِذْ أَدْبَرَ
Na kwa usiku unapo kucha!
34وَالصُّبْحِ إِذَا أَسْفَرَ
Na kwa asubuhi inapo pambazuka!
Al-MuddaththirFaharasa ya Qurani
56Aya
MakkaRevelation
32Aya

Tafsiri — Al-Muddaththir 32

Sura Al-Muddaththir Aya 32 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hasha! Naapa kwa mwezi!

Sura Aya 32/56 — Al-Muddaththir المدثر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muddaththir Sikiliza, Al-Muddaththir Tafsiri, Al-Muddaththir mp3, Al-Muddaththir pdf. Aya 30–34. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema