Al-Muddaththir · 37/56
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Muddaththir
لِمَن شَاءَ مِنكُمْ أَن يَتَقَدَّمَ أَوْ يَتَأَخَّرَ ۝٣٧
Liman shaaa`a minkum any yataqaddama aw yata akhkhar
📖 Kwa Kiswahili
Kwa anaye taka miongoni mwenu kutangulia au kuchelewa.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 35-39 — Al-Muddaththir

35إِنَّهَا لَإِحْدَى الْكُبَرِ
Hakika huo Moto ni katika mambo yaliyo makubwa kabisa!
36نَذِيرًا لِّلْبَشَرِ
Ni onyo kwa binaadamu,
37لِمَن شَاءَ مِنكُمْ أَن يَتَقَدَّمَ أَوْ يَتَأَخَّرَ
Kwa anaye taka miongoni mwenu kutangulia au kuchelewa.
38كُلُّ نَفْسٍ بِمَا كَسَبَتْ رَهِينَةٌ
Kila nafsi imo rahanini kwa mabaya iliyo yachuma.
39إِلَّا أَصْحَابَ الْيَمِينِ
Isipo kuwa watu wa kuliani.
Al-MuddaththirFaharasa ya Qurani
56Aya
MakkaRevelation
37Aya

Tafsiri — Al-Muddaththir 37

Sura Al-Muddaththir Aya 37 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa anaye taka miongoni mwenu kutangulia au kuchelewa.

Sura Aya 37/56 — Al-Muddaththir المدثر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Muddaththir Sikiliza, Al-Muddaththir Tafsiri, Al-Muddaththir mp3, Al-Muddaththir pdf. Aya 35–39. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Wednesday, August 19, 2026

Usitusahau katika dua zako njema