Al-Qiyama · 32/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Qiyama
وَلَٰكِن كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ ۝٣٢
Wa laakin kazzaba wa tawalla
📖 Kwa Kiswahili
Bali alikanusha, na akageuka.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 30-34 — Al-Qiyama

30إِلَىٰ رَبِّكَ يَوْمَئِذٍ الْمَسَاقُ
Siku hiyo ndiyo kuchungwa kupelekwa kwa Mola wako Mlezi!
31فَلَا صَدَّقَ وَلَا صَلَّىٰ
Kwa sababu hakusadiki, wala hakusali.
32وَلَٰكِن كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ
Bali alikanusha, na akageuka.
33ثُمَّ ذَهَبَ إِلَىٰ أَهْلِهِ يَتَمَطَّىٰ
Kisha akenda kwa ahali zake kwa matao.
34أَوْلَىٰ لَكَ فَأَوْلَىٰ
Ole wako, ole wako!
Al-QiyamaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
32Aya

Tafsiri — Al-Qiyama 32

Sura Al-Qiyama Aya 32 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Bali alikanusha, na akageuka.

Sura Aya 32/40 — Al-Qiyama القيامة (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Qiyama Sikiliza, Al-Qiyama Tafsiri, Al-Qiyama mp3, Al-Qiyama pdf. Aya 30–34. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema