Al-Mursalat · 43/50
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mursalat
كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ ۝٤٣
Kuloo washraboo haneee `am bimaa kuntum ta`maloon
📖 Kwa Kiswahili
Kuleni na kunyweni kwa furaha kwa yale mliyo kuwa mkiyatenda.

🎧 Sikiliza


📜 Aya 41-45 — Al-Mursalat

41إِنَّ الْمُتَّقِينَ فِي ظِلَالٍ وَعُيُونٍ
Hakika wachamngu watakuwa katika vivuli na chemchem,
42وَفَوَاكِهَ مِمَّا يَشْتَهُونَ
Na matunda wanayo yapenda,
43كُلُوا وَاشْرَبُوا هَنِيئًا بِمَا كُنتُمْ تَعْمَلُونَ
Kuleni na kunyweni kwa furaha kwa yale mliyo kuwa mkiyatenda.
44إِنَّا كَذَٰلِكَ نَجْزِي الْمُحْسِنِينَ
Hakika ndio kama hivyo tunavyo walipa watendao mema.
45وَيْلٌ يَوْمَئِذٍ لِّلْمُكَذِّبِينَ
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
Al-MursalatFaharasa ya Qurani
50Aya
MakkaRevelation
43Aya

Tafsiri — Al-Mursalat 43

Sura Al-Mursalat Aya 43 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kuleni na kunyweni kwa furaha kwa yale mliyo kuwa mkiyatenda.

Sura Aya 43/50 — Al-Mursalat المرسلات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mursalat Sikiliza, Al-Mursalat Tafsiri, Al-Mursalat mp3, Al-Mursalat pdf. Aya 41–45. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema