An-Naba · 12/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
وَبَنَيْنَا فَوْقَكُمْ سَبْعًا شِدَادًا ۝١٢
Wa banaina fauqakum sab `an shi daada
📖 Kwa Kiswahili
Na tukajenga juu yenu saba zenye nguvu?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 10-14 — An-Naba

10وَجَعَلْنَا اللَّيْلَ لِبَاسًا
Na tukaufanya usiku ni nguo?
11وَجَعَلْنَا النَّهَارَ مَعَاشًا
Na tukaufanya mchana ni wa kuchumia maisha?
12وَبَنَيْنَا فَوْقَكُمْ سَبْعًا شِدَادًا
Na tukajenga juu yenu saba zenye nguvu?
13وَجَعَلْنَا سِرَاجًا وَهَّاجًا
Na tukaifanya taa yenye mwanga na joto;
14وَأَنزَلْنَا مِنَ الْمُعْصِرَاتِ مَاءً ثَجَّاجًا
Na tukateremsha maji yanayo anguka kwa kasi kutoka mawinguni,
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
12Aya

Tafsiri — An-Naba 12

Sura An-Naba Aya 12 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tukajenga juu yenu saba zenye nguvu?

Sura Aya 12/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 10–14. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema