An-Naba · 11/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
وَجَعَلْنَا النَّهَارَ مَعَاشًا ۝١١
Waja`alnan nahara ma `aasha
📖 Kwa Kiswahili
Na tukaufanya mchana ni wa kuchumia maisha?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 9-13 — An-Naba

9وَجَعَلْنَا نَوْمَكُمْ سُبَاتًا
Na tukakufanya kulala kwenu ni mapumziko?
10وَجَعَلْنَا اللَّيْلَ لِبَاسًا
Na tukaufanya usiku ni nguo?
11وَجَعَلْنَا النَّهَارَ مَعَاشًا
Na tukaufanya mchana ni wa kuchumia maisha?
12وَبَنَيْنَا فَوْقَكُمْ سَبْعًا شِدَادًا
Na tukajenga juu yenu saba zenye nguvu?
13وَجَعَلْنَا سِرَاجًا وَهَّاجًا
Na tukaifanya taa yenye mwanga na joto;
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
11Aya

Tafsiri — An-Naba 11

Sura An-Naba Aya 11 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na tukaufanya mchana ni wa kuchumia maisha?

Sura Aya 11/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 9–13. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema