An-Naba · 18/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
يَوْمَ يُنفَخُ فِي الصُّورِ فَتَأْتُونَ أَفْوَاجًا ۝١٨
Yauma yun fakhu fis-soori fataa toona afwaaja
📖 Kwa Kiswahili
Siku litapo pulizwa barugumu, nanyi mtakuja kwa makundi,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 16-20 — An-Naba

16وَجَنَّاتٍ أَلْفَافًا
Na mabustani yenye miti iliyo kamatana.
17إِنَّ يَوْمَ الْفَصْلِ كَانَ مِيقَاتًا
Hakika siku ya uamuzi imewekewa wakati wake,
18يَوْمَ يُنفَخُ فِي الصُّورِ فَتَأْتُونَ أَفْوَاجًا
Siku litapo pulizwa barugumu, nanyi mtakuja kwa makundi,
19وَفُتِحَتِ السَّمَاءُ فَكَانَتْ أَبْوَابًا
Na mbingu zitafunguliwa, ziwe milango,
20وَسُيِّرَتِ الْجِبَالُ فَكَانَتْ سَرَابًا
Na milima itaondolewa na itakuwa kama sarabi.
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
18Aya

Tafsiri — An-Naba 18

Sura An-Naba Aya 18 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Siku litapo pulizwa barugumu, nanyi mtakuja kwa makundi,

Sura Aya 18/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 16–20. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema