An-Naba · 17/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
إِنَّ يَوْمَ الْفَصْلِ كَانَ مِيقَاتًا ۝١٧
Inna yaumal-fasli kana miqaata
📖 Kwa Kiswahili
Hakika siku ya uamuzi imewekewa wakati wake,

🎧 Sikiliza


📜 Aya 15-19 — An-Naba

15لِّنُخْرِجَ بِهِ حَبًّا وَنَبَاتًا
Ili tutoe kwayo nafaka na mimea,
16وَجَنَّاتٍ أَلْفَافًا
Na mabustani yenye miti iliyo kamatana.
17إِنَّ يَوْمَ الْفَصْلِ كَانَ مِيقَاتًا
Hakika siku ya uamuzi imewekewa wakati wake,
18يَوْمَ يُنفَخُ فِي الصُّورِ فَتَأْتُونَ أَفْوَاجًا
Siku litapo pulizwa barugumu, nanyi mtakuja kwa makundi,
19وَفُتِحَتِ السَّمَاءُ فَكَانَتْ أَبْوَابًا
Na mbingu zitafunguliwa, ziwe milango,
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
17Aya

Tafsiri — An-Naba 17

Sura An-Naba Aya 17 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika siku ya uamuzi imewekewa wakati wake,

Sura Aya 17/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 15–19. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema