An-Naba · 19/40
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Naba
وَفُتِحَتِ السَّمَاءُ فَكَانَتْ أَبْوَابًا ۝١٩
Wa futiha tis samaa-u fakaanat abwaaba
📖 Kwa Kiswahili
Na mbingu zitafunguliwa, ziwe milango,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 17-21 — An-Naba

17إِنَّ يَوْمَ الْفَصْلِ كَانَ مِيقَاتًا
Hakika siku ya uamuzi imewekewa wakati wake,
18يَوْمَ يُنفَخُ فِي الصُّورِ فَتَأْتُونَ أَفْوَاجًا
Siku litapo pulizwa barugumu, nanyi mtakuja kwa makundi,
19وَفُتِحَتِ السَّمَاءُ فَكَانَتْ أَبْوَابًا
Na mbingu zitafunguliwa, ziwe milango,
20وَسُيِّرَتِ الْجِبَالُ فَكَانَتْ سَرَابًا
Na milima itaondolewa na itakuwa kama sarabi.
21إِنَّ جَهَنَّمَ كَانَتْ مِرْصَادًا
Hakika Jahannamu inangojea!
An-NabaFaharasa ya Qurani
40Aya
MakkaRevelation
19Aya

Tafsiri — An-Naba 19

Sura An-Naba Aya 19 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na mbingu zitafunguliwa, ziwe milango,

Sura Aya 19/40 — An-Naba النبأ (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Naba Sikiliza, An-Naba Tafsiri, An-Naba mp3, An-Naba pdf. Aya 17–21. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema