An-Nazi'at · 33/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
مَتَاعًا لَّكُمْ وَلِأَنْعَامِكُمْ ۝٣٣
Mataa`al lakum wali an `aamikum
📖 Kwa Kiswahili
Kwa nafuu yenu na mifugo yenu.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 31-35 — An-Nazi'at

31أَخْرَجَ مِنْهَا مَاءَهَا وَمَرْعَاهَا
Akatoa ndani yake maji yake na malisho yake,
32وَالْجِبَالَ أَرْسَاهَا
Na milima akaisimamisha,
33مَتَاعًا لَّكُمْ وَلِأَنْعَامِكُمْ
Kwa nafuu yenu na mifugo yenu.
34فَإِذَا جَاءَتِ الطَّامَّةُ الْكُبْرَىٰ
Basi itakapo fika hiyo balaa kubwa,
35يَوْمَ يَتَذَكَّرُ الْإِنسَانُ مَا سَعَىٰ
Siku ambayo mtu atakumbuka aliyo yafanya,
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
33Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 33

Sura An-Nazi'at Aya 33 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Kwa nafuu yenu na mifugo yenu.

Sura Aya 33/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 31–35. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema