An-Nazi'at · 43/46
Tafsiri Uandishi wa sauti — An-Nazi'at
فِيمَ أَنتَ مِن ذِكْرَاهَا ۝٤٣
Feema anta min zikraahaa
📖 Kwa Kiswahili
Una nini wewe hata uitaje?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 41-45 — An-Nazi'at

41فَإِنَّ الْجَنَّةَ هِيَ الْمَأْوَىٰ
Basi huyo, Pepo itakuwa ndiyo makaazi yake!
42يَسْأَلُونَكَ عَنِ السَّاعَةِ أَيَّانَ مُرْسَاهَا
Wanakuuliza Saa (ya Kiyama) itakuwa lini?
43فِيمَ أَنتَ مِن ذِكْرَاهَا
Una nini wewe hata uitaje?
44إِلَىٰ رَبِّكَ مُنتَهَاهَا
Kwa Mola wako Mlezi ndio mwisho wake.
45إِنَّمَا أَنتَ مُنذِرُ مَن يَخْشَاهَا
Kwa hakika wewe ni mwonyaji tu kwa mwenye kuikhofu.
An-Nazi'atFaharasa ya Qurani
46Aya
MakkaRevelation
43Aya

Tafsiri — An-Nazi'at 43

Sura An-Nazi'at Aya 43 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Una nini wewe hata uitaje?

Sura Aya 43/46 — An-Nazi'at النازعات (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: An-Nazi'at Sikiliza, An-Nazi'at Tafsiri, An-Nazi'at mp3, An-Nazi'at pdf. Aya 41–45. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema