Abasa · 26/42
Tafsiri Uandishi wa sauti — Abasa
ثُمَّ شَقَقْنَا الْأَرْضَ شَقًّا ۝٢٦
Thumma sha qaqnal-arda shaqqa
📖 Kwa Kiswahili
Tena tukaipasua pasua ardhi kwa nguvu,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 24-28 — Abasa

24فَلْيَنظُرِ الْإِنسَانُ إِلَىٰ طَعَامِهِ
Hebu mtu na atazame chakula chake.
25أَنَّا صَبَبْنَا الْمَاءَ صَبًّا
Hakika Sisi tumemimina maji kwa nguvu,
26ثُمَّ شَقَقْنَا الْأَرْضَ شَقًّا
Tena tukaipasua pasua ardhi kwa nguvu,
27فَأَنبَتْنَا فِيهَا حَبًّا
Kisha tukaotesha humo nafaka,
28وَعِنَبًا وَقَضْبًا
Na zabibu, na mimea ya majani,
AbasaFaharasa ya Qurani
42Aya
MakkaRevelation
26Aya

Tafsiri — Abasa 26

Sura Abasa Aya 26 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Tena tukaipasua pasua ardhi kwa nguvu,

Sura Aya 26/42 — Abasa عبس (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Abasa Sikiliza, Abasa Tafsiri, Abasa mp3, Abasa pdf. Aya 24–28. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema