Al-Mutaffifin · 13/36
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Mutaffifin
إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ ۝١٣
Izaa tutlaa`alaihi aayaatunaa qaala asaateerul awwaleen
📖 Kwa Kiswahili
Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
🎧 Sikiliza

📜 Aya 11-15 — Al-Mutaffifin

11الَّذِينَ يُكَذِّبُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ
Ambao wanaikadhibisha Siku ya Malipo.
12وَمَا يُكَذِّبُ بِهِ إِلَّا كُلُّ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ
Wala haikadhibishi ila kila mwenye kuruka mipaka, mwenye dhambi.
13إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ
Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa kale!
14كَلَّا ۖ بَلْ ۜ رَانَ عَلَىٰ قُلُوبِهِم مَّا كَانُوا يَكْسِبُونَ
Hasha! Bali yametia kutu juu ya nyoyo zao hao walio kuwa wakiyachuma.
15كَلَّا إِنَّهُمْ عَن رَّبِّهِمْ يَوْمَئِذٍ لَّمَحْجُوبُونَ
Hasha! Hakika hao siku hiyo bila ya shaka watazuiliwa na neema za Mola wao Mlezi.
Al-MutaffifinFaharasa ya Qurani
36Aya
MakkaRevelation
13Aya

Tafsiri — Al-Mutaffifin 13

Sura Al-Mutaffifin Aya 13 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Anapo somewa Aya zetu husema: Ni visa vya watu wa…

Sura Aya 13/36 — Al-Mutaffifin المطففين (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Mutaffifin Sikiliza, Al-Mutaffifin Tafsiri, Al-Mutaffifin mp3, Al-Mutaffifin pdf. Aya 11–15. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema