Al-Buruj · 12/22
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Buruj
إِنَّ بَطْشَ رَبِّكَ لَشَدِيدٌ ۝١٢
Inna batsha Rabbika lashadeed
📖 Kwa Kiswahili
Hakika kutesa kwa Mola wako Mlezi ni kukali.
🎧 Sikiliza

📜 Aya 10-14 — Al-Buruj

10إِنَّ الَّذِينَ فَتَنُوا الْمُؤْمِنِينَ وَالْمُؤْمِنَاتِ ثُمَّ لَمْ يَتُوبُوا فَلَهُمْ عَذَابُ جَهَنَّمَ وَلَهُمْ عَذَابُ الْحَرِيقِ
Hakika walio wafitini Waumini wanaume na Waumini wanawake, kisha hawakutubu, basi watapata adhabu ya Jahannamu na watapata adhabu ya kuungua.
11إِنَّ الَّذِينَ آمَنُوا وَعَمِلُوا الصَّالِحَاتِ لَهُمْ جَنَّاتٌ تَجْرِي مِن تَحْتِهَا الْأَنْهَارُ ۚ ذَٰلِكَ الْفَوْزُ الْكَبِيرُ
Hakika walio amini na wakatenda mema watapata Bustani zenye mito ipitayo kati yake. Huko ndiko kufuzu kukubwa.
12إِنَّ بَطْشَ رَبِّكَ لَشَدِيدٌ
Hakika kutesa kwa Mola wako Mlezi ni kukali.
13إِنَّهُ هُوَ يُبْدِئُ وَيُعِيدُ
Yeye ndiye anaye anzisha na ndiye anaye rejeza tena,
14وَهُوَ الْغَفُورُ الْوَدُودُ
Naye ni Mwenye kusamehe, Mwenye mapenzi,
Al-BurujFaharasa ya Qurani
22Aya
MakkaRevelation
12Aya

Tafsiri — Al-Buruj 12

Sura Al-Buruj Aya 12 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Hakika kutesa kwa Mola wako Mlezi ni kukali.

Sura Aya 12/22 — Al-Buruj البروج (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Buruj Sikiliza, Al-Buruj Tafsiri, Al-Buruj mp3, Al-Buruj pdf. Aya 10–14. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema