Al-Fajr · 22/30
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Fajr
وَجَاءَ رَبُّكَ وَالْمَلَكُ صَفًّا صَفًّا ۝٢٢
Wa jaaa`a Rabbuka wal malaku saffan saffaa
📖 Kwa Kiswahili
Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 20-24 — Al-Fajr

20وَتُحِبُّونَ الْمَالَ حُبًّا جَمًّا
Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.
21كَلَّا إِذَا دُكَّتِ الْأَرْضُ دَكًّا دَكًّا
Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,
22وَجَاءَ رَبُّكَ وَالْمَلَكُ صَفًّا صَفًّا
Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,
23وَجِيءَ يَوْمَئِذٍ بِجَهَنَّمَ ۚ يَوْمَئِذٍ يَتَذَكَّرُ الْإِنسَانُ وَأَنَّىٰ لَهُ الذِّكْرَىٰ
Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?
24يَقُولُ يَا لَيْتَنِي قَدَّمْتُ لِحَيَاتِي
Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai wangu!
Al-FajrFaharasa ya Qurani
30Aya
MakkaRevelation
22Aya

Tafsiri — Al-Fajr 22

Sura Al-Fajr Aya 22 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,

Sura Aya 22/30 — Al-Fajr الفجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Fajr Sikiliza, Al-Fajr Tafsiri, Al-Fajr mp3, Al-Fajr pdf. Aya 20–24. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema