Al-Fajr · 21/30
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Fajr
كَلَّا إِذَا دُكَّتِ الْأَرْضُ دَكًّا دَكًّا ۝٢١
Kallaaa izaaa dukkatil ardu dakkan dakka
📖 Kwa Kiswahili
Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,
🎧 Sikiliza

📜 Aya 19-23 — Al-Fajr

19وَتَأْكُلُونَ التُّرَاثَ أَكْلًا لَّمًّا
Na mnakula urithi kwa ulaji wa pupa,
20وَتُحِبُّونَ الْمَالَ حُبًّا جَمًّا
Na mnapenda mali pendo la kupita kiasi.
21كَلَّا إِذَا دُكَّتِ الْأَرْضُ دَكًّا دَكًّا
Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,
22وَجَاءَ رَبُّكَ وَالْمَلَكُ صَفًّا صَفًّا
Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,
23وَجِيءَ يَوْمَئِذٍ بِجَهَنَّمَ ۚ يَوْمَئِذٍ يَتَذَكَّرُ الْإِنسَانُ وَأَنَّىٰ لَهُ الذِّكْرَىٰ
Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?
Al-FajrFaharasa ya Qurani
30Aya
MakkaRevelation
21Aya

Tafsiri — Al-Fajr 21

Sura Al-Fajr Aya 21 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,

Sura Aya 21/30 — Al-Fajr الفجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Fajr Sikiliza, Al-Fajr Tafsiri, Al-Fajr mp3, Al-Fajr pdf. Aya 19–23. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema