Al-Fajr · 23/30
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Fajr
وَجِيءَ يَوْمَئِذٍ بِجَهَنَّمَ ۚ يَوْمَئِذٍ يَتَذَكَّرُ الْإِنسَانُ وَأَنَّىٰ لَهُ الذِّكْرَىٰ ۝٢٣
Wa jeee`a yawma`izim bi jahannnam; Yawma `iziny yatazakkarul insaanu wa annaa lahuz zikraa
📖 Kwa Kiswahili
Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?
🎧 Sikiliza

📜 Aya 21-25 — Al-Fajr

21كَلَّا إِذَا دُكَّتِ الْأَرْضُ دَكًّا دَكًّا
Sivyo hivyo! Itakapo vunjwa ardhi vipande vipande,
22وَجَاءَ رَبُّكَ وَالْمَلَكُ صَفًّا صَفًّا
Na akaja Mola wako Mlezi na Malaika safu safu,
23وَجِيءَ يَوْمَئِذٍ بِجَهَنَّمَ ۚ يَوْمَئِذٍ يَتَذَكَّرُ الْإِنسَانُ وَأَنَّىٰ لَهُ الذِّكْرَىٰ
Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini kukumbuka huko kutamfaa nini?
24يَقُولُ يَا لَيْتَنِي قَدَّمْتُ لِحَيَاتِي
Atasema: Laiti ningeli jitangulizia kwa uhai wangu!
25فَيَوْمَئِذٍ لَّا يُعَذِّبُ عَذَابَهُ أَحَدٌ
Basi siku hiyo hataadhibu yeyote namna ya kuadhibu kwake.
Al-FajrFaharasa ya Qurani
30Aya
MakkaRevelation
23Aya

Tafsiri — Al-Fajr 23

Sura Al-Fajr Aya 23 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na ikaletwa Jahannamu siku hiyo, siku hiyo mtu atakumbuka! Lakini…

Sura Aya 23/30 — Al-Fajr الفجر (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Fajr Sikiliza, Al-Fajr Tafsiri, Al-Fajr mp3, Al-Fajr pdf. Aya 21–25. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema