Al-Layl · 11/21
Tafsiri Uandishi wa sauti — Al-Layl
وَمَا يُغْنِي عَنْهُ مَالُهُ إِذَا تَرَدَّىٰ ۝١١
Wa maa yughnee `anhu maaluhooo izaa taraddaa
📖 Kwa Kiswahili
Na mali yake yatamfaa nini atapo kuwa anadidimia?

🎧 Sikiliza


📜 Aya 9-13 — Al-Layl

9وَكَذَّبَ بِالْحُسْنَىٰ
Na akakanusha lilio jema,
10فَسَنُيَسِّرُهُ لِلْعُسْرَىٰ
Tutamsahilishia yawe mazito!
11وَمَا يُغْنِي عَنْهُ مَالُهُ إِذَا تَرَدَّىٰ
Na mali yake yatamfaa nini atapo kuwa anadidimia?
12إِنَّ عَلَيْنَا لَلْهُدَىٰ
Hakika ni juu yetu kuonyesha uwongofu.
13وَإِنَّ لَنَا لَلْآخِرَةَ وَالْأُولَىٰ
Na hakika ni yetu Sisi Akhera na dunia.
Al-LaylFaharasa ya Qurani
21Aya
MakkaRevelation
11Aya

Tafsiri — Al-Layl 11

Sura Al-Layl Aya 11 - Soma, Sikiliza, Tafsiri, Kiswahili : Na mali yake yatamfaa nini atapo kuwa anadidimia?

Sura Aya 11/21 — Al-Layl الليل (Makka). Soma Sikiliza Tafsiri (Kiswahili). Sikiliza: Al-Layl Sikiliza, Al-Layl Tafsiri, Al-Layl mp3, Al-Layl pdf. Aya 9–13. Kwa Kiswahili: Soomaali.




Kurani Tukufu


Tuesday, August 18, 2026

Usitusahau katika dua zako njema